Tue Mar 16th 2010:22:59:26

News and events


PSI/Tanzania staff poses for photo with HIV/AIDS music concert competition held in Temeke, Dar es Salaam of which Kino Michano emerged winners.


PSI/Tanzania Executive Director, Daniel Crapper, explains to the Minister for Health and Social Welfare, Hon. David Mwakyusa, on the whole process that is being conducted when importing condoms to the country. This was during the official launch of PSI/Tanzania new look over the weekend (photo correspondent).


PSI/Tanzania Director of Corporate Affairs, Mary Mwanjelwa explains organization’s work to IPP Group Executive Chairman, Reginald Mengi during the unveil of PSI new look.


PSI/Tanzania staff, Mary and Romanus (Centre) charts with some of the invited guests at the launch event.


The Minister for Health and Social Welfare Hon. Prof David Mwakyusa (left) receives a special certificate to mark half a billion condom distribution by PSI/Tanzania since 1993. Giving the certificate is PSI/Tanzania Board Chairman, Yogesh Maneck.


Baadhi ya wafanyabiashara wa rejareja wa wilaya ya Bagamoyo wakifuatilia mafunzo ya program ya ‘Ongea Zaidi na Salama’ yaliyofanyika hivi karibuni mjini Bagamoyo. Mpango huo unalenga katika kuhamasisha wafanyabiashara wa rejareja kusambaza zaidi mipira ya kiume ili kuimalisha vita dhidi ya Ukimwi hapa nchini.


Meneja wa Progam ya HIV/AIDS ya PSI, Dk. Alex Ngaiza akikabidhi zawadi ya boks la kondom kwa mfanyabiashara mdogo wa mjini Bagamoyo mara baada ya kufanikisha kwa mafanikio kujisajili katika mtandao wa ‘Ongea Zaidi na Salama’ wakati wa mafunzo maalum mjini Bagamoyo hivi karibuni. Mafunzo hayo yalikwemda sanjari na uzinduzi wa huduma hiyo wilayani humo.


Mkurungenzi wa Masoko wa Program ya HIV/AIDS ya PSI, John Wanyancha, akionesha boks la kondom za Familia likiwa na lebo ya ‘Ongea Zaidi na Salama’ wakati wa uzinduzi wa program hiyo kwa wilaya ya Bagamoyo.